Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Saturday, May 2, 2015

AZAM KUONYESHA MECHI YA YANGA USIKU HUU

Azam TV itaonyesha moja kwa moja mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Etoile du Sahel dhidi ya Yanga.

Mechi hiyo itakayopigwa kwenye Uwanja wa Olimpiki mjini Sousse, itaanza kuonyeshwa saa 3 usiku, leo.

Tayari Yanga wameanza maandalizi na taarifa zinaeleza muda mchache ujao wataanza safari kwenda uwanjani.

Related Posts:

0 comments: