Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, May 3, 2015

MAYWEATHER AMTWANGA PACQUIAO KWA POINTI NA KUMALIZA UBISHI


Floyd Mayweather amemaliza ubishi kwa kumtwanga Manny Pacquiao katika pambano lao lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa.

Katika pambano ambalo Pacquiao alikuwa akishangiliwa sana, ngumi zake nyingi zilionekana kuwavutia mashabiki, lakini si zilizompa pointi kujenga ushindi.
Mayweather  alikuwa makini zaidi na kuweza kupiga ngumi nyingi zenye pointi.
Majaji wote watatu walimpa Mayweather ushindi wa
118-110, 116-112, 116-112.













Related Posts:

0 comments: