Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, March 26, 2015

MOURINHO NDIYE KOCHA MWENYE MKWANJA ZAIDI




Kocha Jose  Mourinho wa Chelsea ndiye kocha anaingiza fedha nyingi zaidi duniani.


Mourinho ameweza kuingiza hadi kitita cha pauni milioni 13.2 kwa mwaka huku akifuatiwa na Carlo Ancelotti wa Real Madrid aliyeingiza pauni milioni 11.

10 BORA YA MAKOCHA WENYE UTAJIRI MKUBWA
1. Jose Mourinho £13.2m
2. Carlo Ancelotti £11.4m
3. Pep Guardiola £11.2m
4. Arsene Wenger £8.3m
5. Louis van Gaal £7.3m
6. Fabio Capello £6.6m
7. Andre Villas-Boas £6.2m
8. Sven-Goran Eriksson £5.9m
9. Jurgen Klopp £5.3m
10. David Moyes na Laurent Blanc £5.1m

Source: France Football Rich List

0 comments: