Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, March 26, 2015

HUYU NI MWANASOKA TAJIRI DUNIANI



Lionel Messi ndiye mwanasoka tajiri zaidi duniani baada ya kuingiza karibu pauni milioni moja kwa wiki katika fedha zake za ujira pamoja na alizokuwa akilipwa na wadhamini mbalimbali.

Kutokana na fedha hizo, raia huyo wa Argentina anayekipiga Barcelona alitundika benki hadi kitita cha pauni milioni 47.8.
Katika fedha hizo pauni milioni 26 zilitokana na mshahara tu anaolipwa na Barcelona.
 
Mpinzani au mshindani wa mkubwa Cristiano Ronaldo pauni milioni 39.7.
TOP 10 YA WANASOKA WENYE MKWANJA ZAIDI:
1. Lionel Messi £47.8m
2. Cristiano Ronaldo £39.7m
3. Neymar £26.8m
4. Thiago Silva £20.2m
5. Robin van Persie £18.8m
6. Gareth Bale £17.5m
7. Wayne Rooney £16.5m
8. Zlatan Ibrahimovic £15.8m
9. Sergio Aguero £15.6m
10. Robert Lewandowski £14.8m

Source: France Football Rich List

0 comments: