Jennifer Lopez ametoa maoni yake juu ya Mume wake wa zamani Marc Anthony kumchumbia mwanamitindo Shannon De Lima
Mwanamama huyo wa watoto wawili amesema hana tatizo kwa mume wake wa zaman kuwa na demu mwingine na anamuombea mema
Jlo na Marc enzi zao |
"Ninafuraha kwa ajili yake,"
Jennifer aliliambia New York Daily
News"na kuongeza kuwa yeye yupo single kwa sasa ila haitakuwa milele
kwani ipo siku ataokea mwanaume mwema wa kumuoa."
MARC NA dem wake mpya SHANNON |
Ikumbukwe kuwa
Marc Anthony alisubiria sana tangu akutane na jennifer lopez miaka ya 90..ambapo
Lopez alimtaliki mume wake wa kwanza Ojani
Noa mwaka 1998, akamuoa dansa wake Cris
Judd mwaka 2001, pia akawa na
mahusiano yaliyo make headline na P.
Diddy, pia alichumbiwa na Ben
Affleck mwaka 2002 kabla ya kuamua
kutulia na marc Anthony ambapo walifanikiwa kupata watoto mapacha Max na
Emme mwaka 2008, ila wakatangaza
kuachana mwaka 2011.
0 comments:
Post a Comment