Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, November 1, 2016

TOP 10: Wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa duniani, Afrika ni mmoja tu


Staa wa kimataifa wa Wales anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Gareth Bale ameingia katika TOP 3 ya wachezaji wa soka wanaolipwa pesa ndefu zaidi duniani ambapo ameingia katika list hiyo kutokana na mkataba wake mpya na Real Madrid.
39a6015b00000578-3889532-gareth_bale_has_put_pen_to_paper_on_a_new_deal_keeping_him_at_re-a-15_1477915544208
Gareth Bale
Kwa sasa Bale atakuwa akilipwa pound 346,000 kwa wiki ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 900 ambapo katika kipindi cha miaka sita Bale atakuwa kaingiza jumla ya pound milioni 108.
MANCHESTER, ENGLAND - MAY 24: Yaya Toure of Manchester City applauds supporters as he is replaced during the Barclays Premier League match between Manchester City and Southampton at Etihad Stadium on May 24, 2015 in Manchester, England. (Photo by Shaun Botterill/Getty Images)
Yaya Toure
Bale sasa anakuwa katika TOP 3 hiyo wakati kwa wachezaji wa Afrika, kiungo wa Man City na raia wa Ivory Coast Yaya Toure yupo nafasi ya 10 katika list ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa duniani licha ya kuwa yupo katika wakati mgumu wa kujua hatma yake chini ya Guardiola.
qw121
List mpya ya wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa duniani imetolewa jana October 31 2016.

0 comments: