Aliyekuwa mshindi wa pili kwenye shindano la Miss Tanzania 2014, Lillian Kamazima amekabidhiwa taji la Miss Tanzania 2014 na kamati ya Miss Tanzania baada ya..SITTI MTEMVU kupigwa chini rasmi
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika mkutano uliyofanyikia kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam, Lilian ameahidi kuisadia jamii ya Tanzania.
“Nashukuru kupata nafasi hii, naitwa Lillian Kamazima nina miaka 18, nitatumia nafasi hii kusaidia jamii nikishirikiana na kamati ya Miss Tanzania na pia kuiwakilisha Tanzania katika Miss World,” alisema Lilian.
Lilian ni mrembo kutoka Arusha.
Mfahamu zaidi kwa picha zake hizi.
0 comments:
Post a Comment