Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, October 26, 2014

ROBIN THICKE:INAONYESHA KESHACHOKA KUMFUKUZIA EX WAKE




Robin Thicke inaonyesha ametupilia mbali mpango wake wa kumrudia mke wake wa zaman Paula Patton ... jamaa kaonekana huko marekani akiingia katika duka la viwalo na kuwanunulia wanawake wanne viwalo bombaaa

Thicke aliingia katika duka moja linalouza nguo za ndani kwa  watu maaruufu – na inasemekana jamaa alitupa kiasi cha dola za kimarekani $2,800 zaidi ya milioni tatu kwa ajili ya vinguo hivyo peke yake

Kama unavyofaham Thicke aliingia katika kampeni inayoitwa   kampeni ya kumrejesha PAULA PATTON katika maisha yake baada ya mwanamke huyo kuenda kwa mwanaume mwingine kutokana na jamaa kuwa mzinzi ila sasa inaonyesha kuwa mzuka wa kumrejesha unapungua
 
IKUMBUKE KUWA TAYARI  mwanamke huyo keshadai talaka

Related Posts:

0 comments: