YANGA |
Mtanange wa ligi kuu unaendelea siku ya leo katika uwanja wa mkwakwani kati ya wagosi wa kaya coast union dhidi ya yanga na huku yanga wakiwa wanaongoza kwa goli moja goli lililofungwa na harubu kanavaro hii ni live kutoka uwanjani endelea kuwa nami.
0 comments:
Post a Comment