Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, January 13, 2015

ARSENAL HATIHATI TENA KUMKOSA_ MATHIEU DEBUCHY KWA MIEZI 3


 Arsenal defender Mathieu Debuchy could miss three months of the season if he needs an operation
Arsenal huenda ikamkosa beki wake Mathieu Debuchy kwa miezi mitatu kama upasuaji wa bega lake lililoteguka utahitajika.

Beki huyo wa kulia wa Ufaransa aliumia katika mechi ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City wiki iliyopita baada ya kusukumwa kwa makusudi na Marko Arnautovic ambaye amefanikiwa kuepuka adhabu kutoka FA.
Debuchy (left) disclocated his shoulder following a clash with Stoke City's Marko Arnautovic on Sunday
Debuchy reacts after colliding  with the advertising boards during the Premier League match at the Emirates

Debuchy ataonana na mtaalam ndani  yaa masaa 48 yajayo ili kujua kama upasuaji utahitajika au la.

Habari hizi  ni pigo kwa Arsenal ambayo safu yake ya ulinzi imekuwa ikiandamwa na majeruhi tangu kuanza kwa  msimu huu.


Debuchy ndiyo kwanza alikuwa anarejea uwanjani baada ya kuwa majeruhi kwa miezi mitatu tangu alipoumia kiwiko cha mguu mwezi Disemba.

0 comments: