Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, January 13, 2015

MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUHUSU BUSH MAN ALIYECHEZA MUVI YA the gods must be crazy__kutokana na ushamba alipopewa malipo ya kwanza kwa kucheza muvi alizitupa fedha KWA kudhani ni uchafu

Anaitwa N!xau Ç‚Toma wengi wanamfahamu kama BUSH MAN_na anafahamika zaidi baada ya kucheza muvi ya THE gods must be crazy





N!xau mwaka 2003 akiwa kaanza kuumwa


HIstoria yake iko ma aifuatayo

ALIZALIWA




1943(Inakisiwa kwan hakujua umri sahihi wa kwake)huko
Tsumkwe, Namibia
Na alifariki

1 July 2003 (Na inakadiwa alikuwa na umri kati ya  59–60 huko huko
Tsumkwe, Namibia
ALIKUWA mcheza filamu Katika mwaka


1980–1994

fila FILAMU ALIZOCHEZA NI PAMOJA NA The Gods Must Be Crazy KAMA (Bushman) au Xixo.[2][3]
Nchini MWAKE NAMIBIA ANAFAHAMIKA KAMA mwigizaji maarufu kuliko yeyote
KUNA MAMBO 10 usiyoyafahamu vizuri kuhusu huyu Mtu
1:Japo kwenye muvi alicheza kama bushman_ila ni kweli kabisa kuwa alikuwa bushman_mtu mshamba asiyejua umjini na mpaka anacheza muvi ya kwanza alikuwa hajaona mtu mweupe anayevaa nguo
2:Hakujua umri wake sahihi
3:Hakujua thamani ya hela na inasemekana hata malipo aliyolipwa baada ya muvi ya kwanza alizitupa akidhani ni uchafu tu na zikaenda na upepo
4:Alifundishwa thamani ya hela katika muvi ya Pili na kuendelea na hapo ndo akawa mjanja kisha kuwa anachaji kiasi kikubwa cha fedha ili acheze muvi
5:MAISHA YALIYO katika muvi yake ya kwanza na ya pili ni halisi wanayoishi ma bushman huko jangwa la kalahali namibia
6:ALIJIBADILI dini mwaka 2000, na kubatizwa kuwa msabato
7:Tarehe 1 July 2003, alifariki  baada ya kuugua kifua kikuu kilichokomaa ugonjwa alioupata kwa ajili ya kuwinda ndege usiku
8:Anakadiriwa kufa akiwa na miaka 59_kwani kwa mabush man hawakujua SUALA LA umri
9;ALIZIKWA kwenye makaburi ya asili huko Tsumkwe,july 12 pembeni mwa kaburi la mke wake wa pili
 10:ALIACHA watoto 6 walio hai__kwani wengine walikufa


0 comments: