MABINGWA
wa Tanzania Bara, Azam FC, Leo wameanza vyema kampeni yao katika
Mashindano ya CAF CHAMPIONZ LiGI walipoichapa El Merreikh ya Sudan Bao
2-0 katika Mechi ya Raundi ya Awali iliyochezwa Azam Complex, Chamazi
ambavyo ni Viunga vya Jiji la Dar es Salaam.
Azam FC wamefuata nyayo za Yanga ambao hapo Jana kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam waliichapa Klabu ya Botswana BDF XI Bao 2-0 katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Awali ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho.
Azam FC wamefuata nyayo za Yanga ambao hapo Jana kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam waliichapa Klabu ya Botswana BDF XI Bao 2-0 katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Awali ya Mashindano ya CAF ya Kombe la Shirikisho.
0 comments:
Post a Comment