Buriani:Baba mzazi wa msanii wa kizazi kipya nchini Dully Sykes Mzee
Abby Sykes amefariki dunia leo katika Hospitali ya Muhumbili Mwenyezi
mungu amempenda zaidi tumpe pole Msanii Dully Sykes na tumuombee
babayeke apumzike mahali pema peponi
R.I.P Mzee Sykes
0 comments:
Post a Comment