Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, January 20, 2015

HAPA _Papa Francis akizungumzia juu ya_ familia


Papa Francis ambaye ni  kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani,
 
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ameunga mkono haki ya wazazi kuchagua ukubwa wa familia zao.
Amesema waumini wazuri wa Kanisa katoliki hawapaswi kuzaa bila ya mpangilio.
Kiongozi wa Kanisa katoliki duniani amelalamikia mawazo ya nchi za magharibi kuhusu kudhibiti uzazi na haki za wapenzi wa jinsia moja kuwa yamezidi kushinikizwa katika familia za nchi zinazoendelea.

Wakati wa ziara yake, Papa Francis ametetea utamaduni wa mafundisho ya kanisa katoliki unaopinga matumizi ya dawa za uzazi wa mpango.

Wakati wa ziara yake nchini Ufilipino, inakadiriwa kuwa watu milioni sita walihudhuria ibada iliyoendeshwa na kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani, katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manila.

0 comments: