Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, December 22, 2015

Mo Music kafikishwa Mahakamani Dodoma… chanzo ni Mwanamke



Mwimbaji wa hit single ya ‘basi nenda‘ ambaye sasa hivi anapata airtime kubwa ya Radio kupitia single ya ‘skendoMo Music, anasema mwaka 2015 kwake umemalizika na huzuni baada ya kushtakiwa Mahakamani kwa kisa kilichoanzia kwa Mwanamke, kesi yake imetajwa December 21 2015.
Alikua ni mpenzi wake wa zamani, toka wameachana ni zaidi ya miezi nane imepita na Mwanamke huyo alikwenda kwa Mwanaume mwingine na kuchukua mamilioni ya pesa alafu mwishoni Mo Music amekuja kutajwa kuhusika na upoteaji wa hizo pesa.

SOURCE:milard ayo

Related Posts:

0 comments: