Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, January 20, 2015

HATIMAYE_ USUGU WA VIMELEA WA_ MALARIA WASFANYIWA UTAFITI

 huyu ndiye Mbu wa malaria hapa
wanasayansi wanatafiti namna vimelea vya ugonjwa wa malaria jinsi vinavyoendelea kuwa sugu kwa dawa zilizokuwa zinatibu ugonjwa huo ili kugundua kinachosababisha dawa hizo kukosa nguvu ya kutibu.

Katika utafiti uliochapishwa kwenye jarida la kitabibu la journal Nature Genetics,watafiti hao wanasema kwamba ,mwaka 1950, dawa baada ya dawa zilishindwa kupambana na vimelea vya malaria.

Kwa mara ya kwanza utafiti huo uligundua vimelea vya ugonjwa malaria katika mpaka wa Thai Cambodia,kabla ugonjwa huo haujasambaa barani Afrika na kwingineko ulimwenguni.

Kwa sasa wanasayansi hao wamegundua dawa ambayo vimelea vya ugonjwa huo havina ujanja wa kukwepa kutokomezwa.na kuna imani kwamba katika tafiti kadhaa zijazo huenda mwanga ukapatikana na kugundua sababu za vimelea hivyo kuzidi kuwa na nguvu ya usugu .

0 comments: