Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, January 14, 2015

Diamond atarajia kuitwa Baba_JE ZILE taarifa hazai madem zake wa zamani walipotosha?

Hivi karibuni kumekua na tetesi kibao zinazo muhusu Chibu a.k.a Diamond Platinumz kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwana dada 'Zari The boss lady' wa Uganda,wawili hao hawakuficha hisia zao za malavi davi kwa watu huku wakioneka sehemu tofauti tofauti,Platinumz ameamua kuthibitisha kwenye social network


  Kupitia mtandao wa instagram Diamond alipost picha anayo onyesha picha ya ultrasound yenye kuonyesha kiumbe tumboni na kuandika

                                          "i cant wait to have you on my hand"  IMG-20150114-WA0000picha hii ina ashiria kwamba bwana Chibu Da Ngote mda wowote anaweza kuitwa baba na mwana dada Zari ndo alie beba uja uzito huo.
 Kama habari hii ni kweli basi habari zilizosambaa kuwa diamond anamatatizo na hawezi pata mtoto zilizosambazwa na mademu zake wa zamani ni uzishi?NA kwamba DIAMOND ALIWALAUMU WASICHANA ZAKE WA ZAMANI KUWA HAWAKUTAKA KUMZALIA MTOTO__soma habari hiyo SOMA HAPA

0 comments: