sababu nilijitambua na kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia ili uweze kuungana nasi kwenye tiba ya Methadone kwani ndio Kiboko ya madawa ya kulevya!!!!Kama Mimi mwanamke nimeweza najua Hata wewe utaweza!!!!Tanzania bila madawa ya kulevya Inawezekana !!Watanzania tusimyanyapae Msanii wetu kwani Uteja ni ugonjwa Kama ugonjwa mwingine na Unazuilika na Kutibika,Ana kipaji na Ana uwezo wa kurudi tena kwenye Sanaa,Tumuombee mema………Tanzania Stand Up with Him.
CHECK me!!!!

Sunday, October 26, 2014
RAY C, AFUNGUKA,HAYA_ WAKATI CHID BENZ AKISOTA POLISI
Author: AMMY YEYOO
10:16:00 PM
sababu nilijitambua na kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia ili uweze kuungana nasi kwenye tiba ya Methadone kwani ndio Kiboko ya madawa ya kulevya!!!!Kama Mimi mwanamke nimeweza najua Hata wewe utaweza!!!!Tanzania bila madawa ya kulevya Inawezekana !!Watanzania tusimyanyapae Msanii wetu kwani Uteja ni ugonjwa Kama ugonjwa mwingine na Unazuilika na Kutibika,Ana kipaji na Ana uwezo wa kurudi tena kwenye Sanaa,Tumuombee mema………Tanzania Stand Up with Him.
Related Posts:
NEW VIDEO:TATU MOHAMED(MAMA WA HEKIMA)-IKULU KUNA NINI? YEYO… Read More
JE UNAJUA WINE YA BEI GHALI KULIKO ZOTE DUNIANI?_ICHEKI HAPA INAUZA MILIONI 46 ZA TZ Watu wanapenda bata na bata mara nyingi huhitaji fedha ndefu Bata zipo za aina nyingi ila pia pombe hususani zile za gharama ndo bata lenyewe Kwa upande mwingine unapokuja kwe… Read More
ALIYEKUWA DEMU WA DIAMOND Meninah aolewa kimyakimya Nyota wa muziki wa kizazi kipya, zao la BSS 2012 Meninah Abdulkarim. Mus… Read More
NEW SONG:LETS GO PARTY _HOOD GANG … Read More
MAAJABU:Ama kweli Ng'ombe hazeeki maini ONA Ndoa za wazee zatikisa Morogoro SHANGWE! Katika tukio linalotokea kwa nadra, wazee kumi ambao wameishi kinyumba kwa miaka mingi,Jumamosi iliyopita walibariki ndoa zao katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtak… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment