Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, October 26, 2014

MKE WA KANYE WEST AMDENGULIA MPENZI WA CHRISS BROWN

Mtandao wa RadarOnline.com umedai kuwa Kim Kardashian amemzingua mpenzi wake Chris Brown, Karruache Tran baada ya kumuomba wapige picha kwenye tukio moja la hivi karibuni.

kim-kardashian4Karrueche Tran, 26, alimuomba mke huyo wa Kanye West wapige picha ya pamoja na wapenzi wao kwenye listening party ya album ya Teyana Taylor huko Hollywood wiki hii. Chanzo kimeuambia mtandao huo kuwa Kim alikataa.
Hata hivyo baada ya Brown, 25, kumuomba Kanye West, 37, ruhusa ya kupiga picha, rapper huyo alikubali kwa roho moja na hivyo kumfanya Kim asiwe na jinsi zaidi kukubali.

Related Posts:

0 comments: