Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, February 1, 2015

IS yamuua mateka mwengine wa Japan


Kenji Goto
   
                                           
Japan imeelezea ghadhabu yake kwa kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka raia wa nchi hiyo Kenji Goto.
Japan imeyataja mauaji hao kuwa kitendo cha kikatili ambapo waziri mkuu wa Japan mwenye hasira amesema kuwa japan itaendela kushirikiana na nchi zinazopambana na kundi hilo.
Wiki moja iliyopita mateka mwingine raia wa Japan Haruna Yukawa aliuawa na wanamgambo hao.
Familia ya Kenji Goto
Kanda ya video ya hivi punde inafanana na zile zilizokuwa zikionyesha kuuawa kwa mateka wengine awali.
Kenji Goto ambaye ni mwandishi wa habari alitekwa nyara nchini Syria mwezi Oktoba mwaka uliopita.

0 comments: