Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, February 1, 2015

ALSHABAAB WAENDELEA KUUA SOMALIA

Wapiganaji wa kundi la Al Shabaab

   

                                            
Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

Gavana wa eneo lililo kusini la Lower Shabelle (Abdulkadir Mohamed Nuur Siiddi) ameiambia BBC kuwa wanamgamnbo kadha wa kigeni ni kati ya wale waliouawa kwenye shambulizi lililoendeshwa kwa ushirikiano kati ya wanajeshi wa Marekani na wale wa muungano wa Afrika.


Alisema kuwa makombora matatu yalishambulia msafara wa Al shaabab na moja katika kambi zake za kutoa mafunzo.

0 comments: