Macaulay Culkin ama anavyofahamika zaidi kama KEVIN katika movie iliyompa umaarufa sana miaka ya tisini ya....Home Alone,imefahamika kuwa hajafa kweli kama uvumi wa kifo chake ulivyosambazwa katika mitandano mbali mbali jumamosi iliyopita
Tukirudi nyuma ni kwamba PICHA HIYO ya Macaulay ama Kevin ambaye hivi sasa ameathirika sana na madawa ya kulevya ilitupiwa mtandaoni ikionyesha kama jamaa kafariki kitu ambacho jamaa mwenyewe amesema kuwa alikuwa anafanya mzaha.
Tazama picha iliyoleta kizaaa zaa hapo chini
Tukirudi nyuma ni kwamba PICHA HIYO ya Macaulay ama Kevin ambaye hivi sasa ameathirika sana na madawa ya kulevya ilitupiwa mtandaoni ikionyesha kama jamaa kafariki kitu ambacho jamaa mwenyewe amesema kuwa alikuwa anafanya mzaha.
Tazama picha iliyoleta kizaaa zaa hapo chini
0 comments:
Post a Comment