Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, November 6, 2014

HATARI:WATU 50 TU WAJITOKEZA SHOW YA MASE HUKO LONDON


 Jumatatu usiku, (Nov. 3) rapper Mase alikuwa amepanga kutumbuiza jijini London kwenye ukumbi wa O2.

mase-2014-09-11

Alikuwa apewe support kutoka kwa wasanii wenzake wa New York, Foxy Brown na Fat Joe.
Bahati mbaya Fat Joe alinyimwa visa ya kuingia Uingereza na Foxy Brown alijitoa katika dakika za mwisho. Kwa mujibu wa ripoti za awali kutoka factmag.com, watu chini ya 50 walihudhuria show hiyo kwenye ukumbi huo wenye uwezo wa kujaza watu 2700+.

Related Posts:

0 comments: