Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, October 29, 2014

PICHA:CHID BENZ AKIPANDISHWA KIZIMBAN JANA

Jana Chid Benz amepandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza katika mhakama ya hakim mkazi kisutu Dar es salaam akistakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya ijumaa iliyopita uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius kambarage nyerere
CHID akiingia eneo la mahakama

Hapa akirudi kwenye karandinga
Aidha amerudishwa rumanda hadi  november 11 kesi yake itakapoendelea kusomwa tena mwaka huu ambapo atakuwa na nafasi ya kupata dhamani.

Related Posts:

0 comments: