Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, October 27, 2014

DRAKE:APIGANA NA HELA



Aubrey 'Drake' Graham, siku ya jana amerusha hela japo si kwa ile wazungu wanasema ‘making it rain’ – ila jamaa alirusha hela hizo kwa hasira wakati akimfuata jamaa aliyekuwapo kwenye club waliyofikia baada ya jamaa kudaiwa kumtwanga mmoja wa member wake


Drake alikuwa ana sherekea
birthday yake katika klabu moja inayoitwa Club Stadium kule Washington D.C. kuanzia juzi usiku hadi alfajiri ya jana  jumapili

Baada ya kutupa hela hizo ambazo inasemekana zilikuwa maelfu ya dola na kumfuata jamaa kwa hasira alitulizwa

Ila baadae jamaa kutoka katika crew yake alifankiwa kuokota baadhi ya fedha zilizorushwaba Drizzy

Ikumbukwe jamaa si mara ya kwanza kuanzisha mtifuano club kwani mwaka 2012 alitanzisha vagi na crew ya Chris Brown nightclub moja inaitwa  W.I.P

Related Posts:

0 comments: