Nahodha wa timu ya soka ya Afrika Kusini ambaye pia alikuwa mlinda
mlango, Senzo Meyiwa ameuawa.
Klabu yake Orlando Pirates imetangaza kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi na jambazi nyumbani kwake maili 20 kusini mwa jiji la Johannesburg usiku wa jana.
Meyiwa, 27, aliuawa nyumbani kwake Vosloorus.
Ripoti ambazo bado hazijathibitishwa zinadai kuwa Meyiwa alikuwa ndani na rafiki yake na mtu mmoja kuingia na kudai apewe simu ya mkononi na kisha kufyatua risasi.
Orlando Pirates, imeandika kwenye Twitter: “@Orlando-Pirates family has learned with sadness of the untimely death of our number 1 keeper & captain Senzo Meyiwa.”
Irvin Khoza, mwenyekiti wa club hiyo amesema: “hili ni pengo kwa familia ya Senzo hasa watoto wake Orlando Pirates na Taifa kwa ujumla
Klabu yake Orlando Pirates imetangaza kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi na jambazi nyumbani kwake maili 20 kusini mwa jiji la Johannesburg usiku wa jana.
Meyiwa, |
Ripoti ambazo bado hazijathibitishwa zinadai kuwa Meyiwa alikuwa ndani na rafiki yake na mtu mmoja kuingia na kudai apewe simu ya mkononi na kisha kufyatua risasi.
Orlando Pirates, imeandika kwenye Twitter: “@Orlando-Pirates family has learned with sadness of the untimely death of our number 1 keeper & captain Senzo Meyiwa.”
Irvin Khoza, mwenyekiti wa club hiyo amesema: “hili ni pengo kwa familia ya Senzo hasa watoto wake Orlando Pirates na Taifa kwa ujumla
0 comments:
Post a Comment