Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, June 1, 2015

CHEK WA SANII NA MASHABIKI WALIVYOJITOKEZA KUMCHANGIA MKE WA MABESTE


Msanii Mabeste akiwapagawisha mashabiki.
Msanii wa muziki, Bob Junior akifanya yake jukwaani. Mdada akipagawa na wimbo wa msanii Shebby Love (kushoto). Msanii Ben D akiwa na wacheza shoo wake. Mashabiki wakijiachia kwa burudani. Wacheza shoo wa Club 71 wakitoa burudani.…Akiwa kwenye pozi na mashabiki. Msanii Mabeste (mwenye shati ya njano) akiwa na baadhi ya uongozi wa Club 71 ya Tegeta jijini Dar.
WASANII kibao jana walijitokeza kumuunga mkono msanii Mabeste katika shoo maalum kwa ajili ya kuchangia fedha za matibabu ya mkewe, Lisa Karl ambaye pia ni meneja wake.
Shoo hiyo iliyopewa jina la ‘Mrs Mabeste Charity Show Club 71’ ilifanyika usiku wa jana katika club hiyo iliyopo Tegeta, jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wasanii waliohudhuria ni pamoja na Bob Junior, Top In Dar ‘TID’,  Ben D, Shebby Love, Sting Wera Wera toka Kenya na wengineo.


0 comments: