Raheem Sterling |
Raheem Sterling aliihakikishia Liverpool kucheza nusu fainali za kombe la Capital One huku Chelsea ikibakia vizuri baada ya bao la penalti la Eden Hazard wa Chelsea katika dakika ya 18 kurejeshwa na Sterling katika dakika ya 59.
Hata hivyo, Sterling aliipatia Liverpool bao ililostahili katika mchezo wa kwanza uwanja wake wa nyumbani wa Anfield.
0 comments:
Post a Comment