Akizungumza na Mwanaspoti hivi karibuni, nyota huyo wa filamu za kibongo alisema ni bora atumie muda huu kutafuta maisha ili watoto wake waje kuishi vizuri.
“Kuliko kupoteza muda na nguvu kwa mwanaume, bora nijitunze kwa ajili ya kuwalea wanangu baadaye, bado nina muda sijaishia katika Foolish Age, Mapenzi ya Mungu, bali nina kazi nyingi ninazohitaji kuzifanya ili watu wajue kwamba Lulu ana kipaji katika kazi ya sanaa na si kwamba niliingia huku kwa bahati mbaya,” alisema Lulu.
Source:Mwanaspoti
0 comments:
Post a Comment