Ushindi wa kipengele cha ‘Best African Act’ kwenye tuzo za MTV Europe
Music Awards (EMA) umemshawishi Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, kuwaalika Ikulu kundi la
Sauti Sol kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa (Oct 27) ikiwa ni
sehemu ya kuwapongeza.

Sauti Sol wakiwa na Rais Uhuru Kenyatta Ikulu ya Kenya
Kundi hilo lililoanzishwa 2005 liliwashinda Davido, Diamond Platnumz na wasanii wengine wa Afrika.
Kupitia akaunti yao ya Instagram walishare picha na kuandika, “Awesome birthday party!! Happy birthday Mr President @ukenyatta #TeamSautiSol #SautiSol4EMA #BestAfricanAct #BestWorldwideAct #MTVEMA.”
Sauti Sol waeonekana kuwa mabalozi wazuri wa muziki wa Kenya hasa katika tuzo mbalimbali za kimataifa, na kwa sasa wanawania kipengele cha ‘World Wide Act.
Sauti Sol wakiwa na Rais Uhuru Kenyatta Ikulu ya Kenya
Kundi hilo lililoanzishwa 2005 liliwashinda Davido, Diamond Platnumz na wasanii wengine wa Afrika.
Kupitia akaunti yao ya Instagram walishare picha na kuandika, “Awesome birthday party!! Happy birthday Mr President @ukenyatta #TeamSautiSol #SautiSol4EMA #BestAfricanAct #BestWorldwideAct #MTVEMA.”
Sauti Sol waeonekana kuwa mabalozi wazuri wa muziki wa Kenya hasa katika tuzo mbalimbali za kimataifa, na kwa sasa wanawania kipengele cha ‘World Wide Act.
0 comments:
Post a Comment