Manchester City |
Nayo Tottenham hotspurs iliutumia vema uwanja wake wa nyumbani kwa kuichabanga vilivyo kabisa Brighton kwa jumla ya mabao 2-0.
Nayo Southampton ikairarua Stoke City kwa jumla ya mabao 3-2.
Kwa matokeo haya ya sasa, katika robo fainali Chelsea watapambana na Derby, wakati Tottenham watavaana na Newcastle utd. Nayo Liverpool itapepetana na Bournemouth huku Southampton ikikwaana na Sheffield utd.
0 comments:
Post a Comment