Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, October 30, 2014

DIDIER DROGBA_BADO AONEKANA KUWA MWIBA MKALI_ THE BLUES.



Chelsea striker Drogba (left) gives his side the lead against Shrewsbury with a volley early in the second half
AKIWA na umri wa miaka 36, Didier Drogba ameonyesha bado ni “Special Drog” baada ya kung’ara vilivyo kwenye mechi ya Capital One Cup akichagiza ushindi wa 2-1 kwa timu yake ya Chelsea dhidi ya Shrewsbury.

Drogba alifunga katika dakika ya 48 likiwa ni bao lake la tatu katika mechi tatu, lakini mbali na kufunga, mshambuliaji pia alikuwa ndiye nyota wa mchezo kwa kuisumbua vilivyo ngome ya wapinzani wao.
Drogba (third from right) is congratulated by his team-mates after breaking the deadlock against the League Two side
Andrew Mangan  akaifungia Chelsea bao la pili dakika ya 77 kabla ya beki wa Chelsea Jermaine Grandison kujifunga kunako dakika ya 81.
Shrewsbury (3-5-2): Leutwiler 6.5; Grandison 7, Goldson 7, Knight-Percival 6.5; Grimmer 6.5, Woods 7, Lawrence 7.5, Grant 6.5 (Clark 67min 6), Demetriou 6; Akpa-Akpro 7, Collins 7 (Mangan 75 7)
Chelsea (4-2-3-1): Cech 6.5; Christensen 6, Cahill 7, Zouma 7, Luis 6; Mikel 6 (Matic 80), Ake 7; Salah 6.5 (Willian 80), Oscar 7 (Hazard 93) Shurrle 6.5; Drogba 8.

Matokeo ya mechi zote za Capital One zilizochezwa Jumanne usiku ni kama ifuatavyo:
FT      AFC Bournemouth        2 - 1   West Bromwich Albion
FT      Milton Keynes Dons     1 - 2   Sheffield United
FT      Shrewsbury Town         1 - 2   Chelsea
FT      Fulham       2 - 5   Derby County
FT      Liverpool   2 - 1   Swansea City

Related Posts:

0 comments: