Asamoah
Gyan ambaye amerudi kutoka majeruhi ameibua matumaini ya Ghana katika
harakati ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Afcon 2015
inayoendelea huko nchini Equatorial Guinea.
Ghana
ambayo ilipoteza mchezo wa awali dhidi ya Senegal kwa bao 2-1 ilimkosa
mshambuliaji wake huyo kutoka na na kusumbuliwa na Malaria.
Matokeo
hayo yamelifanya kundi C kuwa gumu zaidi kutokana na timu zote kuwa na
alama tatu isipokuwa Afrika ya kusini ambayo ilipoteza mchezo wake wa
awali dhidi ya Algeria.
Mchezo
mwingine wa kundi hilo utaendelea majira ya saa 4 usiku huu kwa majira
ya Afrika ya Mashariki wakati Senegal watapambana na Afrika ya kusini.
Vikosi vilivyoanza kwa timuzote mbili vilikuwa ni hivi.
Ghana XI: Brimah, Afful, Rahman, Amartey, Mensah, Acquah, A. Ayew, Badu, Atsu, Gyan, J. Ayew
Algeria XI: M'Bolhi, Mandi, Bougherra, Medjani, Ghoulam, Lacen, Taider, Bentaleb, Brahimi, Feghouli, Belfodil
0 comments:
Post a Comment