Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka wasanii wengi wa Bongo wanaendelea kuachia karata zao za mwisho za kufungia mwaka
Vanessa Mdee ni miongoni mwao, kwani anatarajia kutambulisha kazi yake mpya Jumanne Nov.18.
Wimbo wake mpya unaitwa ‘Siri’ akiwa ameshirikiana na Barnaba. Kwenye cover ya wimbo huo kukiwa na mstari usemao “Kwanza ningekuomba kipenzi ukubali tutafanya siri ya watu wawili
Msanii mwingine anayetoa ngoma mwez huu ni Kala Jeremiah
Check picha ya ujio huo

Vanessa Mdee ni miongoni mwao, kwani anatarajia kutambulisha kazi yake mpya Jumanne Nov.18.
Wimbo wake mpya unaitwa ‘Siri’ akiwa ameshirikiana na Barnaba. Kwenye cover ya wimbo huo kukiwa na mstari usemao “Kwanza ningekuomba kipenzi ukubali tutafanya siri ya watu wawili
Msanii mwingine anayetoa ngoma mwez huu ni Kala Jeremiah
Check picha ya ujio huo
0 comments:
Post a Comment