Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, January 18, 2016

Maajabu ya Dunia: Mtu Mwenye Vidole Vingi Duniani



suthar (2)
Devendra Suthar.

Ni vigumu kuamini! Raia wa Himatnaga, Gujarat nchini India, Devendra Suthar amebainika kuwa ndiye mtu aliye hai mwenye vidole vingi zaidi vya mikononi na miguuni. Devendra ambaye ni fundi seremala ana vidole 14 vya mikono na 14 vya miguuni hivyo jumla kuwa na vidole 28 hivyo kuweka rekodi katika Kitabu cha Kumbukumbu cha Dunia cha Guinness.
suthar (1)Ingawa katika shughuli zake za useremala vidole hivyo havimsumbui wala kumkwamisha katika ufanyaji wa kazi, lakini huwa makini sana katika shughuli za ukataji wa vitu mbalimbali.

Related Posts:

0 comments: