Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, March 4, 2015

MSANII MKUBWA WA BONGO FLEVA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA UBUNGE

mwanamuziki wa kizaz kipya JOSEPH HAULE ama prof. jay ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la mikumi mkoani morogoro.
10983702_785482421559864_1232863475_n
Profesa jay amesema kuwa anaona sasa ni wakati muafaka wa kufanya hivyo na jimbo hilo ni maalumu kwake kwa kuwa ni kama nyumbani kwani wazaz wake waliishi huko miaka ya nyuma na babau yake alihamia  huko miaka 58 iliyopita.
Aidha anasema AMEKUWA akiimba sana siasa sasa ni muda wa vitendo

0 comments: