Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, March 17, 2015

huyu ndiye mwanamuziki mahiri wa dance hall aliyefariki leo Uganda

huyu ndiye mwanamuziki mahiri wa DANCEHALL uganda aliyefariki_++anaitwa Emanuel mayanja au AK47_NI MDOGO WA WANAMUZIKI mahiri wa uganda dk jose CHAMELION,WEASEL NA PALLASO
 
taarifa ni kwamba amefariki baada ya kuifikishwa hospitali mara baada ya kuanguka vibaya alipokuwa akioga huko Uganda

Aliyekuwa Mdogo wake Jose Chameleone, AK47 afariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka chooni na kugonga kichwana kabla umauti haujamfika alipost picha kupitia mitandao ya kijamii na aliandika maneno ya nyimbo ya injili kwam lugha kiganda yakisema

0 comments: