Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, March 17, 2015

FRANCIS CHEKA AREJEA URAIANI



Bondia nyota zaidi nchini, Francis Cheka amerejea uraiani baada ya mahakama kutengua kifungo chake cha miaka mitatu jela badala yake atatumikia adhabu yake hiyo akiwa nje ya gereza.
Cheka ameachiwa leo Jumanne baada ya kushinda rufaa yake aliyokata kupinga kifungo cha miaka mitatu gerezani.
Tayari Cheka alianza kutumikia kifungo hicho mjini Morogoro.
Lakini taarifa za uhakika zinasema ameachiwa leo baada ya kushinda rufaa hiyo.

“Tayari ameachiwa, lakini tunashughulikia masuala kadhaa kumalizia ishu hiyo. Ila tayari yuko nje,” alisema Kaike Siraju, promota wa ngumi za kulipwa aliyekuwa akipambana kuhakikisha Cheka anatoka.


Cheka alihukumiwa kwenda jela baada ya kumtwanga na kumuumiza meneja wa baa yake mjini Morogoro akimtuhumu kumsababishia hasara.

0 comments: