ghana |
Mchezo kati ya Guinea na ghana unaendele hivi sasa ikiwa ni robo fainali ya kombe la mataifa Afrika na ghana inaongoza goli moja lililofungwa na mchezaji jezi namba saba Christin Atsu na hivi sasa ni dakika ya kumi na moja kipindi cha kwanza na mchezo mwingine ni kati ya ivory coast na algeria mdau wa kali za dj yeyo kaa hapo hapo nitakualifu kwa kila kinachoendelea
0 comments:
Post a Comment