Wachezaji wa Tunisia |
Tunisia ilichukua fursa ya kushindwa kwa Zambia kufunga mabao ya wazi ilipotoka nyuma na kuishinda miamba hiyo ya Chipolopolo 2-1.
Lakini Mayuka alipata jeraha na hivyobasi kutolewa alipojaribu kufunga bao la pili alipokuwa amesalia na wavu.Lakini Ahmed Akaichi alisawazisha katika eneo la hatari.
Tunisia sasa ina alama 4 baada ya mechi mbili huku Zambia ikiwa na alama moja huku kukiwa kumesalia na mechi moja katika kundi B la michuano ya mataifa ya Afrika.
0 comments:
Post a Comment