Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, November 24, 2014

PICHA;DIAMOND NDO BASSSSSSI TENA_AMPIGA D_NDA ZARI KINOOOMA

zadi
Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila ‘denda’ imesambaa mtandaoni...

zari2
ZAri

 diamond n zari3
Zari na Diamond walianza kutawala vichwa vya habari wiki mbili zilizopita baada ya kupost picha wakiwa kwenye ndege wakitokea Afrika Kusni kuja Tanzania.na baadae picha zingine za ukaribu zaidi walizopost ziliongeza ‘petrol ‘ kwenye moto wa tetesi kuwa wawili hao ni wapenzi hasa katika kipindi ambacho inasemekana Diamond na Wema wana matatizo kwenye uhusiano wao

0 comments: