Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, November 19, 2014

NEWS:MISS HONDURUS APOTEA KATIKA MAZINGIRA TATA

Miss Hondurus 2014, Maria Jose Alvarado hajulikani alipo. Polisi wanamshikilia boyfriend wa dada yake kama mshukiwa mkuu

Alvarado, 19, na dada yake Sofia Trinidad walipotea Alhamis iliyopita wakiwa kwenye mji wa Santa Barbara baada ya sherehe ya kuzaliwa ikiwa ni siku chache tu kabla hajaenda London kwaajili ya shindano la Miss World.

1798456_10154153074180179_6793390615178733613_nPolisi wamemkamata mpenzi wa Sofia, Plutarco Antonio Ruiz kwa shutuma za kuwateka. Hadi sasa bado hawajapatikana.
Honduras, nchini maskini yenye watu milioni nane pekee ni miongoni mwa nchi zenye uhalifu zaidi duniani.

0 comments: