Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, November 12, 2014

HOT:WABONGO MNAIWEZA HII__mchina ahonga iphone 6 zipatazo 99 ili ampate mrembo

1415702560597_wps_9_Man_spends_50_000_on_iPhoMwanaume mmoja wa China amejikuta kwenMwanaume mmoja wa China amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kumuomba uchumba mpenzi wake kwa mkwara wa kununua iPhone 6, 99 zenye thamani ya £55,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 149.
1415702552208_wps_8_Man_spends_50_000_on_iPho
Hata hivyo pamoja na kupanga maboksi hayo 99 ya simu hizo kwenye umbo la kopa, mpenzi wake alikataa ombi lake.
1415702552208_wps_8_Man_spends_50_000_on_iPhoPicha za tukio hilo zimesambaa kwenye mtandao wa Weibo wa China.
1415702567358_wps_10_Man_spends_50_000_on_iPho
Aliamua kualika washkaji zake kushuhudia tukio ambalo liligeuka kuwa la aibu kwake. Inasemekana kuwa sasa hivi jamaa anahaha kutafuta wateja kuuza simu zake kwa bei ya hasara ya £55,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 149.

0 comments: