Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, November 12, 2014

AJALI:Basi la Wibonela Express LILIVYOCHINJA huko kahama

Screen Shot 2014-11-12 at 11.17.42 AM
Ni Basi la Wibonela Express linalofanya safari zake kati ya Kahama – Dar ambalo lilipinduka baada ya kutoka stand kuu ya kahama kilometa chache toka stand hiyo kwenye eneo la Phantom ambapo taarifa kutoka Polisi zinasema waliofariki ni watu wanne.
Screen Shot 2014-11-12 at 11.54.36 AM
Taarifa za awali zinasema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi.
 Screen Shot 2014-11-12 at 11.54.22 AM

0 comments: