Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, October 30, 2014

NEWS:MZEE MANENTO WA BONGO MUVI AFARIKI

Muigizaji wa filamu Mzee Manento aliyewahi kuigiza filamu kama Hero of the church, Dar to Lagos na Fake Pastor amefariki dunia jana
R.I_.P_
Mzee Chilo ameiambia  kuwa amepokea taarifa za kufariki kwa msanii huyo.
“Hata mimi nimepata taarifa hizo, lakini sijajua msiba upo wapi na mimi ndo nataka kuanza kufuatilia, kweli amefariki, ni mkristo kwahiyo nadhani hawawezi zika mapema hii. Nimesikia amefia katika hospitali na TMJ,” amesema Mzee Chilo.


0 comments: