Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, June 2, 2015

BREAKING NEWS:MBUNGE AFARIKI DUNIA DODOMA

































                                             Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake.
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara ya Dar es Salaam.
Mwili wa marehemu umepelekwa hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa uchunguzi zaidi.

Shughuli ya kuaga mwili itafanyika kesho. Naibu Spika ametumia kanuni ya 152 kuahirisha bunge hadi keshokutwa Alhamisi kutokana na msiba huo.

Related Posts:

  • KESHO NI SIKU YA NYERER,TUMUENZI  KWA VITENDO,AMANI,UPENDO NA            MSHIKAMANO           &… Read More
  • HASHIM THABITMCHIZI  NI MTANZANIA ANAWAKILISHA VYEMA KWA OBAMA MAREKANI KATIKA MPIRA WA KIKAPU...HALLA MA MEN … Read More
  • CHECK MACHIZI WA KILI FM MCHIZI ANAITWA KENNEDY ROWLAND A.K.A K ROW;MCHIZ ANAFANYA VIPINDI KIBAO ILA ZAIDI NI KIPINDI CHA MICHEZO A.K.A KILI SPORTS. MSOME KILA SIKU KUANZIA SAA MBILI NA NUSU HADI SAA TAT… Read More
  • NIAJE MAZEE!!!!!SWAGA ZIPO ON MAZEE....MCHIZI NIMEJI COMMIT KUKUWEKA UPDATED NA KILA ISHU ITAKAYOTOKEA AMBAYO UNAPASWA KUIJUA.KAMA WE NI MJANJA BAS NJOO NDANI… Read More
  • MAZEE MNAZUNGUMZIA VIPI BABU FEGI KUMZINGUA ROONEY,NDIO UZEE ?… Read More

0 comments: