Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake.
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia
akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo
la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa
muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara ya Dar es Salaam.
Mwili wa marehemu umepelekwa hospitali ya Mkoa wa Dodoma kwa uchunguzi zaidi.
Shughuli ya kuaga mwili itafanyika kesho. Naibu Spika ametumia kanuni
ya 152 kuahirisha bunge hadi keshokutwa Alhamisi kutokana na msiba huo.
Related Posts:
NEWS:DUDUBAYA NA MR NICE WARUDISHA ZAMA ZAO__WAPATANA NA WAFANYA TOUR YA MUZIKI PAMOJA
Wasanii wa muziki waliowahi kuwa mahasimu, Dudu Baya na Mr Nice
wamemaliza tofauti zao na kuanza kufanya tour yao ya muziki iliyoanzia
Moshi.
Akizungumza kutoka Moshi akiwa n… Read More
LICHA YA TAARIFA ZA KUTEMWA SIMBA, KOCHA PHIRI AENDELEA NA MAZOEZI SIMBA
Pamoja na kuwepo na taarifa za ujio wa kocha
mpya Simba, Patrick Phiri ameendelea na mazoezi ya kikosi hicho jijini Dar es Salaam.
Phiri ameendelea kuinoa Simba li… Read More
ALLY KIBA_AZUNGUMZIA VIDEO YA MWANA NA MANENO YA WATU KUWA HAINA UHALISIA
Hatimaye Alikiba ameamua kuwajibu baadhi ya wapenzi wa muziki
walioikosoa video ya wimbo wa ‘Mwana’ wanaodai kuwa haiendani na kile
kinachoimbwa.
Alikiba amesema
alich… Read More
T.PAIN ANAKUJA MWANZA MWEZI WA PILI
Muimbaji wa Marekani, Faheem Rashad Najm maarufu kama T-Pain anatarajiwa kutumbuiza jijini Mwanza February mwakani.
T-Pain ambaye anafahamika kwa kufanya matumizi ya Auto-Tune … Read More
VIDEO:Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel na AVID wameamua kuungana pamoja na kutengeneza zawadi ya pamoja ya kufungia mwaka 2014 na kuukaribisha 2015_ichek hapa ni KALII
Download Video as MP4
Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel na AVID wameamua kuungana pamoja
na kutengeneza zawadi ya pamoja ya kufungia mwaka 2014 na kuukaribisha
2015. Wimbo hu… Read More
0 comments:
Post a Comment