Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, March 3, 2015

PICHA:VIONGOZI WAANZA KUFIKA SONGEA PICHA ZOTE ZIPO HAPA

kn1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na  akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma Helena Shumbusho

mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea mkoani humo
tayari kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Kada wa CCM na Mbunge wa jimbo
la Mbiga Magharibi Marehemu Kapteni John Damiano Komba aliyefariki hivi
karibuni katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mwili wa Kapteni
John Komba unazikwa leo huko kijijini kwao Lituhi mkoani Ruvuma.
 

kn2
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na  akisalimiana na viongozi mbalimbali wa chama na serikali mkoani Ruvuma wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea.  
kn3
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndugu Mwigulu Nchemba  na Katibu wa Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye wakisalimiana na wananchi wa Songea  baada ya
kuwasili mkoani humo tayari kwa mazishi ya Marehemu Kapteni Komba. 

0 comments: