Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, March 16, 2015

PICHA:TUKIO LA MOTO LILILOTOKEA huko mabibo hostel mida hii_wanafunzi watimua mbio uchi

picha za tukio la moto baada ya moja ya jengo la MABIBO HOSTEL kushika moto hii leo










 

Wanafunzi wakijaribu kuokoa baadhi ya mali kutoka katika bweni la Block B kwenye hosteli ya Mabibo, Dar.
Moto ukiunguza bweni hilo.
Moshi mkali ukifuka kutoka katika bweni la Block B linaloendelea kuungua hivi sasa.
Wanafunzi wakishuhudia moto huo ukiendelea kuunguza bweni la Block B.
...wakitaharuki kutokea kwa moto huo.
....moto ukiendelea kuunguza bweni hilo.
Gari la zimamoto likiwasili eneo la tukio japo kwa kuchelewa.
MOTO mkali umeunguza bweni la Block B la hosteli ya Mabibo jijini Dar es Salaam muda huu. Chanzo cha moto huo na bado hakijafahamika.
Baadhi ya wanafunzi wanafanya jitihada za kuokoa mali zilizopo katika bweni hilo.




0 comments: