Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, March 4, 2015

HUYU NDIO BILIONEA MPYA HAPA TANZANIA__ANAHELA CHAFU_DUNIA INAMTAMBUA KWA HELAAAAA_ASHIKA NAFASI YA 31 AFRICA,NAFASI YA 1 TANZANIA


JARIDA LA FORBES limetaja mabilionea wapya huku Tanzania ambapo NAFASI YA kwanza aliyokuwa  ROSTAM AZIZ akichukuliwa naMOHAMED  DEWJI
Mohammed-Dewji

Kwa mujibu wa forbes DEWJI mwenye umri wa miaka 39 anamiliki kiasi cha dola za kimarekani 1.3 bilions utajiri unaomfanya ashike nafasi ya 1500 kwa utajiri duniani,nafasi ya 31 Africa na nafasi ya kwanza Tanzania

ROSTAM Azizi AMBAYE anaumri wa miaka 50 sasa hivi anamiliki kiasi cha dola za kimarekani bilioni 1 anakamata nafasi ya 1741 duniani nafasi ya 32 Africa na nafasi ya 2 Tanzania

kwa list nzima BONYEZA HAPA___LIST YA MABILIONEA

wa kwanza Africa ni raia wa Nigeria  Aliko Dangote, ambaye anamiliki  $15.7 billioni

HII HAPA NI TOP 10 YA MABILIONEA DUNIANI KWA MWAKA 2015


 
#1 Bill Gates $79.2 B 59 Microsoft United States
#2 Carlos Slim Helu $77.1 B 75 telecom Mexico
#3 Warren Buffett $72.7 B 84 Berkshire Hathaway United States
#4 Amancio Ortega $64.5 B 78 Zara Spain
#5 Larry Ellison $54.3 B 70 Oracle United States
#6 Charles Koch $42.9 B 79 diversified United States
#6 David Koch $42.9 B 74 diversified United States
#8 Christy Walton $41.7 B 60 Wal-Mart United States
#9 Jim Walton $40.6 B 67 Wal-Mart United States
#10 Liliane Bettencourt $40.1 B 92 L'Oreal France

0 comments: