Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, March 4, 2015

HILI NDILO JESHI LA CHADEMA_NA KAZI YAO NI KULINDA MASLAHI YA CHAMA HICHO_ONA PICHA HAPA JE UNA MAONI GANI

HILI NI JESHI la chama cha CHADEM
A maarufu kama Red brigade,ambalo wahusika wanadai kuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya Chama hicho
Na hapa ni wakati wakila kiapo cha utii kwa mwenyekiti wa chama hicho huko mkoani MWANZA siku ya Jumamosi
Wakati tunaelekea katika  uchaguzi mkuu mwezi wa kumi mwaka huu  HAYA yanatokea je UNAMAONI GANI KUHUSIANA NA JAMBO HILI?

0 comments: